kocha mkuu wa chelsea aomba muda zaidi kuijenga timu yake



See the source image


Maurizio Sarri amekiri kwamba Chelsea inahitaji kuboresha zaidi daraja lao ili kuwafikia vinara Liverpool baada ya kupata sare ya 0-0 dhidi ya West Ham.
.
.

Vilabu hivyo viwili vilikuwa vinaenda sambamba lakini Chelsea walishindwa kwenda sawa na Liverpool , baada ya vijana wa Klopp kushinda 3-0 dhidi ya Southampton.
.
. "Liverpool wapo hatua ya mbele zaidi yetu - Tulianza kufanya kazi pamoja siku 35, 40 zilizopita."
.
. "Kwahiyo kwetu sisi nafikiri kwamba ni mapema sana . Ni lazima tujitume. Inabidi tuboreshe na labda baada ya mwaka mmoja tutakuwa kwenye daraja sawa na Liverpool." #sokaliveupdates

No comments

Powered by Blogger.